
Uongozi Na Utumishi : Mwongozo Kutoka Maandiko Matakatifu
CreateSpace Independent Publishing Platform
ISBN13:
9781981309146
$26.14
Katika kitabu hiki ninaandika habari za Utumishi. Ikiwa kwa muda mrefu umetamani kutumika kwa namna Maandiko Matakatifu yanavyoeleza, basi kitabu hiki ni mwafaka kwako. Katika kitabu hiki utajifunza tofauti za kiongozi na mtumishi na kwa namna hiyo utarudishwa katika utumishi ambao kama utapenda kuufuata kama ilivyoelezwa kwenye kitabu hiki, umalizapo huduma yako, Mungu atakuambia "vema mtumishi mwema, umefanya kama nilivyokuambia."
- | Author: Gerson Mgaya
- | Publisher: Createspace Independent Publishing Platform
- | Publication Date: Dec 01, 2017
- | Number of Pages: 204 pages
- | Language: Swahili
- | Binding: Paperback
- | ISBN-10: 1981309144
- | ISBN-13: 9781981309146
- Author:
- Gerson Mgaya
- Publisher:
- Createspace Independent Publishing Platform
- Publication Date:
- Dec 01, 2017
- Number of pages:
- 204 pages
- Language:
- Swahili
- Binding:
- Paperback
- ISBN-10:
- 1981309144
- ISBN-13:
- 9781981309146